FIBROID NI NINI?

Siku hizi kuna ongezeko kubwa sana la huu ugonjwa hebu tega sikio.

Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao huu uvimbe unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi.


 


 

Uvimbe katika mfuko wa kizazi wa mwanamke hujulikana kama ‘uterine myoma’ au fibroid. Uvimbe huu hutokea kwenye misuli laini ya mfuko wa uzazi.Uvimbe huu hutokea katika sehemu mbalimbali juu au ndani ya mji wa uzazi wa mwanamke.


 

Ni uvimbe ambao hauhusiani na kansa na unaweza kubadilika rangi ukawa wa njano, unaweza kubadilika ukawa kama maji tu na kurudi tena kuwa mgumu.Uvimbe kwenye kizazi hujulikana pia kwa majina haya kitaalamu: ‘Uterine fibroids’, ‘Myoma’ au ‘fibromyoma’.


 

Hujulikana pia kama ‘leiomyoma’ katika lugha ya kidaktari. Wanawake wenye umri kati ya miaka 30 hadi 50 ndiyo wanapatwa kirahisi zaidi na ugonjwa huu.


 

SABABU ZA MWANAMKE KUPATA UVIMBE KWENYE KIZAZI


 

Chanzo cha moja kwa moja cha ugonjwa huu bado hakijulikani wazi, hata hivyo baadhi ya sababu za kutokea huu uvimbe ni pamoja na;


 

1. ?Kuongezeka sana vichocheo vya progesterone na estrogen kuzidi kiwango mwilini.

2.? Ujauzito.

3.? Uzito/ unene kupita kiasi.

4.? Jenetiki zisizo za kawaida.

5.? Mfumo usio sawa wa mishipa ya damu.

6.? Sababu za kurithi.

7.? Lishe isiyo sawa/Lishe duni.

8.?Sumu na taka mbalimbali mwilini.



 

AINA ZA UVIMBE KWENYE KIZAZI

Kuna aina kuu 3 za uvimbe kwenye kizazi kama ifuatavyo:

1.Submucosal fibroids(ndani ya kizazi)

2.Intramural fibroid(ndani ya nyama za kizazi)

3.Subserosal(nje ya kizazi)

 

WAFUATAO WAPO HATARINI KUPATA UVIMBE KWENYE KIZAZI(UTERINE FIBROID)

1.Mwanamke ambae hajawahi kupata mtoto mpaka umri mkubwa
2.miaka kuanzia kubarehe mpaka hedhi kukoma
3.kurithi
4.Unene/uzito kupita kiasi
5.kuingia hedhi mapema

Fibroids sio kansa ni uvimbe wa kawaida tu ambao unakua kwa kutegemea kichocheo cha estrogen hormone ndio maana kuanzia kubarehe mpaka kukoma kwa hedhi ndio wako hatarini. Na mara nyingi uvimbe huu waga unaongezeka kukua sana hasa wakati wa ujauzito kwani vichocheo hivi huongezeka wakati huu kulinda makazi ya mtoto.
Ni watu waliofikia kikomo cha hedhi hawapati fibroids au kitaalam leomyoma.


 

DALILI ZA MWANAMKE MWENYE UVIMBE KWENYE KIZAZI (UTERINE FIBROIDS):


 

1.??Kupata damu nyingi wakati wa hedhi.

2. ??Maumivu makali wakati wa siku za hedhi.

3. ??Kuvimba miguu.

4. Unaweza kuhisi una ujauzito.

5. ??Maumivu wakati wa tendo la ndoa.

6. ??Kuhisi kuvimbiwa.

7. ??Kupata haja ndogo kwa taabu.

8. ??Kutokwa na uchafu ukeni.

9.?? Kupata choo kigumu au kufunga choo.

10.?? Maumivu nyuma ya mgongo.

11. ??Maumivu katika miguu ikiwa ni pamoja na miguu kuwaka moto.

12.?? Upungufu wa damu.

13.?? Maumivu ya kichwa.

14.?? Uzazi wa shida.

15.?? Kutopata ujauzito.

16.?? Kuvimba sehemu ya chini ya tumbo.

17.?? Maumivu ya nyonga.

18.?? Mimba kutoka mara kwa mara (miscarriage).

19.?? Kukojoa mara kwa mara kwan uvimbe huweka mgandamizo katika kibofu cha mkojo

20.?? Hedhi zisizokuwa na mpangilio


 

MAMBO YA KUZINGATIA ILI KUPONA HARAKA UVIMBE KWENYE KIZAZI


 

1. ?Hakikisha una uzito sawa kila mara kulingana na urefu wako.

2. ?Kula sana mboga za kijani na matunda

3. ?Fanya mazoezi ya viungo kila mara, mara 4 mapaka 5 kwa wiki

4. ?Kunywa maji mengi kila siku lita mbili mpaka lita tatu

5. ?Kula sana vyakula vyenye nyuzi nyuzi (faiba) na punguza vyakula vyenye mafuta

6. ?Usitumie bidhaa zozote zenye kaffeina (chai ya rangi, kahawa, soda nyeusi zote nk), nyama nyekundu na vyakula vya kuchomwa au kupikwa katikati ya mafuta mengi (maandazi, chipsi, nk)

7. ?Achana kabisa na mawazo mawazo (stress) na hamaki nyingine zozote

8. ?Acha kuvuta sigara/tumbaku na vilevi vingine vyote hadi hapo utakapopona kabisa


 


 

MATIBABU/TIBA ASILI KWA UVIMBE KWENYE KIZAZI.


 

Tiba asili ndio njia salama na rahisi katika matibabu ya uvimbe kwenye kizazi endapo mgonjwa atafuata ushauri na matumizi sahihihi ya dawa.


 

Zipo dawa asili zenye ufanisi mkubwa sana katika kutibu uvimbe kwenye kizazi, Mfano ni dawa hizo ni FIBROCYST SOLUTION nk hii ni dawa yenye uwezo mkubwa sana katika kutibu uvimbe kwenye kizazi.


 

Wasiliana nami kwa Ushaur, matibabu na miongozo mbali mbali ya kitabibu:


 

Dr.Mapande

Tiba asili

Tanzania


 

+255764516995

+255656198441

thabitsayd@gmail.com


 

Tunapatikana Dar Es salaam, ILALA

"/>

Product Details

DAWA ASILI YA UVIMBE KWENYE KIZAZI(fibroids)

15463
Views

Price

764,516,995 TZS

Quick Overview :

TATIZO LA UVIMBE KWENYE KIZAZI,SABABU, DALILI NA TIBA YAKE ASILI  FIBROID NI NINI?Siku hizi kuna ongezeko kubwa sana la huu ugonjwa hebu tega sikio.Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao huu uvimbe unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya....

Status (New or used?):

Mpya

Product Location:

DAR ES SALAAM,TANZANIA

Shop/Seller's Name:

PANDEX HERBS

Communications:


Share via Whatsapp

Get it on Google PlayDownload our app on Google Play

Recent Products

No preview available
Ramani na ujenzi wa nyumba

Last view

2024-05-19 03:54:11
TZS 300,000
No preview available
Ramani (plan) ya Nyumba vyumba 4

Last view

2024-05-19 03:54:11
TZS 200,000
No preview available
DAWA ASILIA YA KUTIBU VIDONDA VYA TUMBO KWA HARAKA ZAIDI

Last view

2024-05-19 03:54:10
TZS Contact Seller
No preview available
Laptop Acer Aspire R11

Last view

2024-05-19 03:54:09
TZS 650,000
No preview available
Grinder Used zipo katika hali nzuri

Last view

2024-05-19 03:48:04
TZS Contact Seller
No preview available
Ramani vyumba 4 (4 bedrooms House plan)

Last view

2024-05-19 03:36:38
TZS 200,000
No preview available
DAWA YA ASILI YA KUTIBU PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)

Last view

2024-05-19 03:29:31
TZS Contact Seller
No preview available
Water dispenser na blender used

Last view

2024-05-19 03:28:58
TZS Contact Seller

Product Description

Others by PANDEX HERBS

Most Viewed

DAWA ASILI YA UVIMBE KWENYE KIZAZI(fibroids)

The product is in good condition and conforms to both international and national standards, It is recommended to anyone looking for genuine items, further details can be obtained by contacting the user from the contact details provided above, please feel free to contact us any time for more info and products, we import our products from various well renowned countries around the world

TATIZO LA UVIMBE KWENYE KIZAZI,SABABU, DALILI NA TIBA YAKE ASILI


 


 

FIBROID NI NINI?

Siku hizi kuna ongezeko kubwa sana la huu ugonjwa hebu tega sikio.

Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao huu uvimbe unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi.


 


 

Uvimbe katika mfuko wa kizazi wa mwanamke hujulikana kama ‘uterine myoma’ au fibroid. Uvimbe huu hutokea kwenye misuli laini ya mfuko wa uzazi.Uvimbe huu hutokea katika sehemu mbalimbali juu au ndani ya mji wa uzazi wa mwanamke.


 

Ni uvimbe ambao hauhusiani na kansa na unaweza kubadilika rangi ukawa wa njano, unaweza kubadilika ukawa kama maji tu na kurudi tena kuwa mgumu.Uvimbe kwenye kizazi hujulikana pia kwa majina haya kitaalamu: ‘Uterine fibroids’, ‘Myoma’ au ‘fibromyoma’.


 

Hujulikana pia kama ‘leiomyoma’ katika lugha ya kidaktari. Wanawake wenye umri kati ya miaka 30 hadi 50 ndiyo wanapatwa kirahisi zaidi na ugonjwa huu.


 

SABABU ZA MWANAMKE KUPATA UVIMBE KWENYE KIZAZI


 

Chanzo cha moja kwa moja cha ugonjwa huu bado hakijulikani wazi, hata hivyo baadhi ya sababu za kutokea huu uvimbe ni pamoja na;


 

1. ?Kuongezeka sana vichocheo vya progesterone na estrogen kuzidi kiwango mwilini.

2.? Ujauzito.

3.? Uzito/ unene kupita kiasi.

4.? Jenetiki zisizo za kawaida.

5.? Mfumo usio sawa wa mishipa ya damu.

6.? Sababu za kurithi.

7.? Lishe isiyo sawa/Lishe duni.

8.?Sumu na taka mbalimbali mwilini.



 

AINA ZA UVIMBE KWENYE KIZAZI

Kuna aina kuu 3 za uvimbe kwenye kizazi kama ifuatavyo:

1.Submucosal fibroids(ndani ya kizazi)

2.Intramural fibroid(ndani ya nyama za kizazi)

3.Subserosal(nje ya kizazi)

 

WAFUATAO WAPO HATARINI KUPATA UVIMBE KWENYE KIZAZI(UTERINE FIBROID)

1.Mwanamke ambae hajawahi kupata mtoto mpaka umri mkubwa
2.miaka kuanzia kubarehe mpaka hedhi kukoma
3.kurithi
4.Unene/uzito kupita kiasi
5.kuingia hedhi mapema

Fibroids sio kansa ni uvimbe wa kawaida tu ambao unakua kwa kutegemea kichocheo cha estrogen hormone ndio maana kuanzia kubarehe mpaka kukoma kwa hedhi ndio wako hatarini. Na mara nyingi uvimbe huu waga unaongezeka kukua sana hasa wakati wa ujauzito kwani vichocheo hivi huongezeka wakati huu kulinda makazi ya mtoto.
Ni watu waliofikia kikomo cha hedhi hawapati fibroids au kitaalam leomyoma.


 

DALILI ZA MWANAMKE MWENYE UVIMBE KWENYE KIZAZI (UTERINE FIBROIDS):


 

1.??Kupata damu nyingi wakati wa hedhi.

2. ??Maumivu makali wakati wa siku za hedhi.

3. ??Kuvimba miguu.

4. Unaweza kuhisi una ujauzito.

5. ??Maumivu wakati wa tendo la ndoa.

6. ??Kuhisi kuvimbiwa.

7. ??Kupata haja ndogo kwa taabu.

8. ??Kutokwa na uchafu ukeni.

9.?? Kupata choo kigumu au kufunga choo.

10.?? Maumivu nyuma ya mgongo.

11. ??Maumivu katika miguu ikiwa ni pamoja na miguu kuwaka moto.

12.?? Upungufu wa damu.

13.?? Maumivu ya kichwa.

14.?? Uzazi wa shida.

15.?? Kutopata ujauzito.

16.?? Kuvimba sehemu ya chini ya tumbo.

17.?? Maumivu ya nyonga.

18.?? Mimba kutoka mara kwa mara (miscarriage).

19.?? Kukojoa mara kwa mara kwan uvimbe huweka mgandamizo katika kibofu cha mkojo

20.?? Hedhi zisizokuwa na mpangilio


 

MAMBO YA KUZINGATIA ILI KUPONA HARAKA UVIMBE KWENYE KIZAZI


 

1. ?Hakikisha una uzito sawa kila mara kulingana na urefu wako.

2. ?Kula sana mboga za kijani na matunda

3. ?Fanya mazoezi ya viungo kila mara, mara 4 mapaka 5 kwa wiki

4. ?Kunywa maji mengi kila siku lita mbili mpaka lita tatu

5. ?Kula sana vyakula vyenye nyuzi nyuzi (faiba) na punguza vyakula vyenye mafuta

6. ?Usitumie bidhaa zozote zenye kaffeina (chai ya rangi, kahawa, soda nyeusi zote nk), nyama nyekundu na vyakula vya kuchomwa au kupikwa katikati ya mafuta mengi (maandazi, chipsi, nk)

7. ?Achana kabisa na mawazo mawazo (stress) na hamaki nyingine zozote

8. ?Acha kuvuta sigara/tumbaku na vilevi vingine vyote hadi hapo utakapopona kabisa


 


 

MATIBABU/TIBA ASILI KWA UVIMBE KWENYE KIZAZI.


 

Tiba asili ndio njia salama na rahisi katika matibabu ya uvimbe kwenye kizazi endapo mgonjwa atafuata ushauri na matumizi sahihihi ya dawa.


 

Zipo dawa asili zenye ufanisi mkubwa sana katika kutibu uvimbe kwenye kizazi, Mfano ni dawa hizo ni FIBROCYST SOLUTION nk hii ni dawa yenye uwezo mkubwa sana katika kutibu uvimbe kwenye kizazi.


 

Wasiliana nami kwa Ushaur, matibabu na miongozo mbali mbali ya kitabibu:


 

Dr.Mapande

Tiba asili

Tanzania


 

+255764516995

+255656198441

thabitsayd@gmail.com


 

Tunapatikana Dar Es salaam, ILALA

This site has always provided with the best match highest quality best products at amazingly unbeatable prices, everytime i look for something to buy this is my first place to turn to, I recommend it to anyone who value their money and those who look for something that they deserve. Big up to the owner the developers and the managers of this wonderful site :) Love ya all

  • Superb quality products
  • Genuine items
  • Affordable prices
  • Instant response
  • One stop center for all
  • Guarantee
  • Latest items fashion and releases

This site has always provided with the best match highest quality best products at amazingly unbeatable prices, everytime i look for something to buy this is my first place to turn to, I recommend it to anyone who value their money and those who look for something that they deserve. Big up to the owner the developers and the managers of this wonderful site :) Love ya all

We look forward to serving you as a king! Please drop your reviews for the site and the product you have purchased from the site; we intend to make this site the best and a one stop center for all and for everything someone is looking for; any troubles of fraud you have encontered please report them to us direclty using Mail Us link so that we can act on it quickly than if they are post in this thread

Add Reviews

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Your Rating

Similar products

Mpya

SALE

Sony Xperia Z1 16GB
1 Remaining

TZS 300,000

Details

Mpya

SALE

Solar panel
120 Remaining

TZS Contact Seller

Details

Mpya

SALE

Stronger tech blenders
20 Remaining

TZS 220,000

Details

Mpya

SALE

Laptop Lenovo Z370
1 Remaining

TZS 950,000

Details

Mpya

SALE

Earphone samsung s7
50 Remaining

TZS 20,000

Details

Mpya

SALE

Miwani ya bluetooth
50 Remaining

TZS 35,000

Details

Mpya

SALE

Headset za bluetooth
50 Remaining

TZS 25,000

Details

Mpya

SALE

Tecno WX4 for sale
20 Remaining

TZS 180,000

Details

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

+ Tangaza bidhaa

© 2024 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili